Wanaanga na Safari za Angani

Shauku kubwa ya kutaka kujua iliwajaa wanafunzi wa shule ya Msining Ilboru mara baada ya kusikiliza kipindi cha macho angani kinachohusu wanaanga na safari zao za angani.

Kwa kushirikianana mwalimu wao Eliatosha Maleko, wanafunzi waliweza kujifunza kuhusu safari za anga na wanaanga waendao safari za mbali.

Kabla ya kipindi mwalimu alipakua na kuwaonyesha picha za wana anga mbali mbali akiwamo Yuri Gagarin na Neil Armstrong pamoja na vifaa walivyovitumia miaka hiyo ya 1961 na 1969.

Wanafunzi hawa pia waliweza kuona video ya kituo cha kimataifa kinachoelea angani kiitwacho ISS (International Space Station).

Wanafunzi walipata fursa ya kuuliza maswali yaliyopo hapa chini kuhusu kituo hicho na wanaanga. Sikiliza majibu ya baadhi ya maswali hayo kwa kubofya hapa na kisha  hapa au hapo chini kabla ya maswali kusikiliza.

Unaweza kujifunza pamoja nasi kwa kusikiliza kipindi hiko hapa na kujaribu kujibu maswali ya wanafunzi wewe mwenyewe.

Swali liliulizwa na Clara Elirehema

-Kwanini Yuri Gagarin alifanikiwa kuizunguka dunia kwa muda mfupi ikilinganishwa na Wanasayansi wengine kwani chombo chake kilichokuwa ni bora kuliko hivi vinavyotengeneza nyakati hizi za karne ya 21?

Elen Emanuel aliuliza

-Kwanini ni lazima kuwa na afya njema ili uweze kwenda/ kusafiri katika kituo cha anga cha kimataifa cha ISS ?.

-Kwanini Yurigagar alisema kwamba alikua akikaa tu katika chumba chake bila kufanya chochote ina maana gani?

-Inawezekanaje kituo hicho cha ISS kujengwa angani vifaa hivyo vilifika je huko?.

Yugen Elias aliuliza

-Kama angani hamna hewa wanaanga wanavutaje hewa wanapofika katika kituo hicho cha Anga cha kimataifa na je huwa wanabeba gesi kwa ajili ya kupumulia na je huwa inapoisha wanapata wapi nyingine kwa haraka?

Irene aliuliza

-Wanaanga wanapofanya mazoezi mbalimbali kama ya kukimbia huelea angani au inakuwaje?.

-Kwani ni nilazima kuwa na degree ya Sayansi ili uweze kwenda katika chombo cha anga cha kimataifa na sio degree za masomo mengine kama arts na Economic?

Iddy Twahiru aliuliza

 -Kwanini Yurigagar alikaa kwenye chombo kidogo kuliko gari na je vyombo vinavyotumika nyakati hizi huwa na ukubwa gani?

Jesca aliuliza

 -Kwani vyombo vinavyotumika kwenda katika anga za mbali javigonga ni angani kwani twajua huko angani kuna vitu vingi kama vile mabomba yanakwenda kwa kasi kubwa na vitu vingine?

Neema Florence aliuliza

 -Kwanini wana anga wanaweza kuishi na kufanya shughuli mbalimbali huko angani wakati hakuna graviti kama jinsi wanavyoonekana katika video ya wanasayansi katika kituo cha anga cha kimataifa wanavyofanya kazi zao?

-kwanini muda unatumika kufikia katika kituo cha anga cha kimataifa (ISS) ni mafupi kuliko ilivyokuwa zamani au sasa?

Happyness Edward aliuliza

-Kwanini Yurigagar  katika mwaka 1961aliruka juu kwa muda mfupi kwa dakika 180 ambao ni mfupi kuliko muda unaotumika hivi sasa au vyombo vyake na vya karne hizi vinatofautianaje?

Vanessa Gasto aliuliza

-Je hizo Suti zinazotumika katika vyombo vinavyotumika amani , anatofautiana na suti za kawaida tuzijuazo?

-Hao wana anga wanaweza kutoka nje ya vyombo vyao na je wakitoka wanaweza kukabiliana na mazingira ya huko angani na je huweza kurudi tena ndani katika vyombo vyao?

Daniel Willfred aliuliza

-kwanini nje ya dunia kilometa 400 kutoka duniani hakuna hewa ya Oksijeni?.

Neema Florence aliuliza

-Kwanini wanaanga wanaweza kuishi na kufanya vitu mbalimbali wakati kunasemekana hakuna graviti kama ilivyokuwa hapa Duniani?

 

Maswali ya Wanafunzi Kuhusu Satelaiti

Kipindi cha macho angani kuhusu satelaiti kimeiubua maswali mengi toka kwa wanafunzi mengi kuhusu satelaiti na umuhimu wake kwa maisha ya leo. 

Maswali hayo yamepatiwa majibu, nasi tumeona ni vyema kushiriki nanyi ili tujifunze pamoja.

Wanafunzi wa shule ya Msingi Ilboru wakiongozwa na mwalimu wao Eliatosha  Maleko, wamekuwa wakijifunza kuhusu elimu ya anga au astronomia kupitia vipindi vya redio vijulikanavyo kama macho angani.

Vipindi hivi vinapatikana kupitia mtandao kwa kubofya hapa na kisha kuchagua mada ambayo ungependa kujifunza zaidi.

Kipindi cha tarehe 20 Mwezi wa saba, wanafunzi walipendelea kujifunza kuhusu satelaiti na umuhimu wake. Maswali mengi yaliulizwa na wanafunzi kuhusu satelaiti kama yalivyo nakiliwa hapa chini.

Tupe maoni yako juu ya mada hii na pia kama wanafunzi katika shule yako wanaweza kuwa na maswali tofauti au zaidi kuhusu satelite.

Unaweza pia kushiriki nasi majibu ya maswali haya kwa kuandika kwenye sehemu ya maoni au comment. 

Walter Bernard
-Satelite imeundwaje?
-Kwanini satelite inapoanguka hupata msuguano mkubwa?

Emma Loy
-Kwanini satelite ni kubwa kama Lory?
– Kwanini mwezi ni satelite ya asili?
– Kwanini satelite hufungwa katika roketi?

Nestor Alex
-Obit Nini?
-Kwanini satelite ina mwendo wa haraka ikiwa Angani?

Ester Jonathan
-Gps ni nini?
-Satelite ni nini?

Diana Charles
-Satelite ikianguka katika makazi ya watu nini kitatokea?

Ester Mahubiri
-Kwanini usafiri wa ndege unategemea sana mawasiliano ya satelite?

Abigael Abrahamu
-Katika Satelite je! Kuna Binadamu wanaoishi humo?

Nengarivo
-Kwanini satelite huwaka kwa kutoa mwanga inaokimbia?

Merry Alex
-Wakati wa kuanguka kwa satelite hutokea nini?

Paschal David
-Satelite inatengenezwa je?
-Zipo aina ngapi za satelite? satelite ya kwanza kurushwa angani ni ipi na ilikuwa ina madhumuni gani?

Editha Francis
-Kwanini Satelite huwekwa Angani?
– Kwanini Satelite huwekwa Angani na sio ardhini?
-Satelite zina umuhimu gani kwa maisha yetu ya kila siku?

Deborah Adam
-Kwanini usiku kuna kua na nyota nyingi angani kuliko mchana?
-Kwanini bila Gps mambo mengi katika dunia yetu ya kisasa hayaendi?
– Kwanini satelite ikiwa angani ni ndogo kama nyota?
-Kwanini vifaa vya usafiri wa anga kama vile ndege huratibiwa na satelite?
-Satelite zina umuhimu gani kwa maisha yetu na viumbe wengine duniani?
-Je kwanini satelite nyingi huzunguka Sayari yetu ya tatu ya dunia?

Eliatosha
-Elimu ya Astronomia ina faida gani kwetu?
-Kwanini satelite huzunguka dunia kupitia obit na sio njia nyingine?
-Nguvu za jua zina geuzwa VIP kubwa Umeme?

Belinda Abihudi
-Kwanini satelite nyingi hutumia obit?
-Kwani satelite huzunguka dunia kwa kilometa ngapi?
-Kwanini vyombo vya habari haviwezi kufanya kazi bila satelite?

Norine Nelson
-Kwanini satelite nyingi haziwezi kukaa sehemu moja?
-Kwanini satelite kukimbia kwa kasi kubwa sana?

Leillah Abdillah
-Kwanini binadamu wanategemea days za Satelite?
– Kwanini satelite zinazorushwa karibu angani huanguka mapema zaidi?
-Ikiwa Satelite zitashindwa kufanya kazi je nini kitatokea duniani?

Anna Joseph
-Satelite huanguka kwa sababu gani na wapi?
-Kuna aina ngapi za Satelite?
-Rocket zinazorushwa angani hukaa huko kwa a muda gani?
-Satelite huongozwa na nani?
-Kwanini satelite ziko maelfu angani na sio moja?

Andreas Dismas
-Kwanini satelite kwenye Obit ya karibu haziwezi kuendelea na huanguka
dunia?
-Kama satelite za kutengenezwa na binadamu iliharibika je! satelite ya asili
si itaendelea kutuma taarifa/days na kuzalisha umeme?

Nickson Jonas
-Je satelite hutumia vifaa gani na vingapi?

Brayan Leonard
-Amesema kuna hewa inayorekebisha mwelekeo wa satelite ni hewa gani hiyo?
-kwanini satelite zinatofautiana majina na je? Kazi zake ni moja?
-Rocket ina kazi gani angani?
-Satelite ziko ngapi na je?kazi zake hutofautiana?
-je satelite zinapoanguka hazidhuru watu au huwekwa sehemu maalumu la
kuanguka?
-Je? Satelite haidhuriki na mwanga wa jua angani?

William Roman
-kwanini rocket huruka mpaka anga la nje?
-Kwanini satelite hukaa angani bila kuanguka?
-kwanini satelite hazikai katika makazi ya binadamu?
-kwanini satelite haziwezi kuonekana mchana kama zinavyooneka usiku?

Students’ Astro Journey with Macho Angani to Understand Satellites

Students from Ilboru Primary schools and their teacher Eliatosha are on an astronomy learning journey using Swahili astronomy podcasts dubbed Macho Angani that means Eyes in Sky. 

On this day they learned about Satellites, what they are, the purpose they serve, and their benefits to human kinds.  

The journey took them beyond what would be covered in class curricula, raised the interest to understand beyond what is prescribed to their level in the curricular, and triggered endless curios questions. 

An extra mile had to be taken by their teacher to search for satellite photos of different types orbiting our home planet and others. Their teacher had to use his small laptop screen to show pictures of satellites to over 140 students in his class.

It was not easy but worth it, students were happy to understand about satellites and what they do. 

In supporting this learning journey by students and their teacher at Ilboru, we look forward to supporting them with a Bluetooth rechargeable speaker and a projector. 

In each session, the class is getting bigger and bigger. More and more students are interested to join and the number of curious questions is also increasing. These are some of the challenges faced by our tireless Astro-ambassador Mr. Eliatosha Maleko.

We are looking forward to continuing working with him on this transformation learning journey. 

 

 

Macho Angani na Ufahamu wa Sayari ya Zuhura Shule ya Msingi Ilboru

Wanafunzi na Wanachama wa klabu ya Sayansi katika shule ya msingi Ilboru, wamejifunza kuhusu sayari ya Zuhura au Venus kwa kusikiliza  mfululizo wa makala za kipindi cha redio cha Macho Angani

MMAO Ambassador Eliatosha

Mwalimu wao Eliatosha Maleko ameshiriki nasi maswali ya wanafunzi hao baada ya kusikiliza kipindi hicho hapo chini.

Unaweza kusikiliza, kujifunza na kusaidia kujibu maswali ya wanafunzi hao kwa kusikiliza kipindi hicho kwa kubofya HAPA

Karibu ujifunze pamoja nasi kwa kusikilia vipindi vingine vingi vya macho angani kwa kubofya HAPA.  

MMAO Welcomes New Ambassadors

MMAO Ambassador Meeting MMAO Ambassador Meeting

Dear friends,

It is my sincere hope that all of you are doing very fine. I am happy to inform you that we have managed to meet with ambassadors today. We have discussed many things including the following.

  1. All teachers who attended the meeting have agreed to become Ambassadors for MMAO.

  2. All Ambassadors have agreed to bring their students to the observatory on a regular basis.

  3. Ambassadors will prepare Astronomical subjects according to their interest. For example a study of the solar system, use of the telescope, astronomical measurements, propagation of light, etc.

This is just some of what we have discussed.

Regards,
Elineema

Elineema, Hamuli welcome new teachers to MMAO

New Students visit MMAO

Ambassador to MMAO Elineema Nassari writes, “Yesterday was so good day at [the MMAO] observatory, we received a group of students and their teachers from Nshupu secondary school. Students and teachers learned many things about Astronomy, how to use telescope, types of telescopes, the solar system, the moon, meaning of galaxy and Milky way galaxy and how to measure distance in space (how to calculate light years). This lesson was lead by ambassador Hamuli Majeshi and myself. One among teachers asked what is the difference between constellation and galaxy. We provided answers and show them galaxies in the Cosmos series and also use Stellarium program to show them how constellation formed. They were so happy to know the differences. We were able to answer many questions from students also.”

“Teachers promised that they will arrange trips to visit the observatory and then more students will visit the observatory in future. We are sure that the observatory is in the road to provide Astronomical education to the students and the community as well.”

The biggest, brightest super Moon of 2020!

Tonight we can enjoy the biggest, brightest super-moon of 2020!

An introduction the event is provided at EarthSky

Full moons at apogee, or farthest from Earth (left) and perigee or closest to Earth (right) in 2011. Composite image by EarthSky community member C. B. Devgun in India. Thanks, C. B.! Using the eye alone, it’ll be difficult to notice any size difference in the full moon of April 7-8, 2020. But moon-watchers might notice that this is a very bright full moon! Plus Earth’s oceans will feel an extra pull.

In addition, Dan Heim provides us with a spellbinding timelapse video of the Moon taken by NASA’s Lunar Reconnaissance Orbiter (LRO). Go to How the Moon Changes for this engaging video and Dan’s full explanation.

Physics educator Dan Heim attends MMAO Ambassadors call

For more than 30 years retired high school physics instructor, amateur astronomer, and professional writer Dan Heim provided students with the joy of learning the fundamentals of physics, both here on Earth applied to the skies above.

In the fall of 2018 Dan was instrumental in rebuilding and upgrading the 12″ Cave-Cassegrain telescope now in use at the Mt. Meru Astronomical Observatory, Tanzania. He has since remained engaged with MMAO, working to guide applied science instruction at the observatory and in the classroom.

Dan guided MMAO to the freely available Harvard Project Physics text books (https://archive.org/details/projectphysicscollection), the same used in his own classrooms. Having read Unit 1 of the Physics Handbook, the MMAO Ambassadors invited Dan to join in a live SKype session, to answer questions invoked by what they had read.

Thank you Dan!

200 Students visit the observatory!

MMAO - 200 students visit the observatory After a long, seemingly endless three months of rain, the sun has come out and the students have arrived –in droves!

Zacharia writes, “Today, Pendaeli and I received 200 Confirmation students and 15 teacher from Mulala Parish which is made of three sub-parishes, Kilinga, Kyuta and Mulala itself. They came for a youth conference hosted by Ailanga and led by the Bishop of the Diocese of Meru. This is the first big group we ever received–and it was really big!

“They visited our observatory and we were able to give a short tour for them, explaining what [astronomers] do. The kids were so exited to see such a big telescope, something they never knew it is existing. For example one young boy didn’t want to leave the observatory until he could see through a telescope. So we provided him a small telescope and in the end he left with a great memory.

“The teachers promised to come back and make appointment for night observation.”

What a day!

A Discussion of Generations

MMAO - a discussion of generations

MMAO Astronomy Ambassador Zacharia shares the following …

Eliona Miley and myself, we opened the observatory and we were able to conduct general cleanness with the help of students by removing cobwebs, dusts, lizards feces and all kind of debris. During and after cleaning we held a discussion with students on different matters in life, especially from their tribes’ culture and tradition.
For example, [we discussed] inter-family and inter-tribal marriage restrictions and the relationship between youth and elders. We realized that many of them, they don’t know much about their culture’s history.

This raised several questions as to why the young generation is not interested to ask questions, to learn from the elders. Instead you are seeking only answers among themselves. We asked, “Why do you think you know everything?” Do elders have nothing valuable information that you can learn from them?

The youth have a Swahili phrase, to discourage old ideologies and teachings or any kind of advice, when parents and society think it’s against our traditions and culture. For example clothing styles, hair styles, and other kinds of behavior like engagement in sexual relationships (being boy friends & girl friend openly before a certain age), etc. They say, “TUNAKWENDA NA WAKATI” which means “WE ARE GOING OR ACTING TO THE CLOCK”.

After a long discussion they admitted that its true, that they are not asking questions from their elder brothers, sisters or their parents about issues concerning general life skills. This has brought a great concern to us as to why this barrier between the elders and the young generation is happening and continuing to increase everyday. This is affecting even the classrooms where students are not asking questions, so the learning process has become difficult.

There are several reasons as to why this is happening here in Tanzania and even globally. We asked, “Who or what is the source of all this? Are parents guiding their children? Or are they too busy to pass tradition to their children?” This conflict between the former and next generation has two sides, as elders are not wanting to change and youth do not see value in the elders heritage, [essentially] wisdom outdated.

There is a feeling that the breakdown in the communication between the generations is resulting in a loss of knowledge, and what could be the most powerful generation in Tanzania is instead lost. The youth are instead going to the internet, social media, and movies for their education.

There is a need to seal this gap in order to make a generation which values the need for change and embrace it with positive attitude without losing momentum by creating barriers between the elders and the young generation.

MMAO - a time for cleaning MMAO - a time for cleaning